sw_tn/psa/081/004.md

588 B

Kwa kuwa

Hapa kinachozungumziwa ni sikukuu.

amri iliyotolewa na Mungu wa Yakobo

"Mungu wa Yakobo aliamrisha" au "Mungu wa yakobo aliamuru"

Mungu wa Yakobo

Hapa "Yakobo" inawakilishwa uzao wake wote. "Mungu wa Israeli, taifa la uzao wa Yakobo"

aliitoa kama kanuni

"aliitoa kama sheria"

katika Yusufu

Hapa "Yusufu" inawakilisha Waisraeli. "kwa Waisraeli"

alipoaende dhidi ya nchi ya Misri

Hii inamaanisha matukio ya kihistoria katika Misri wakati watu wa Israeli walipokuwa watumwa na Mungu akawaokoa.

nchi ya Misri

Hapa "nchi" inawakilisha watu. "watu wa Misri"