sw_tn/psa/078/067.md

364 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli.

hema la Yusufu

"uzao wa Yusufu"

Yusufu ... Efraimu

Efraimu alikuwa mwana wa Yusufu.

Yuda ... mlima Sayuni

Mlima Sayuni ulikuwa katika nchi ambayo kabila la Yuda lilikuwa.

kama mbingu

"juu, kama mbingu"

kama dunia

"thabiti na imara, kama dunia"