sw_tn/psa/078/058.md

230 B

Taarifa ya Jumla:

Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli.

walimkasirisha na sehemu zao za juu na kumchokoza na wivu wa hasira kwa sanamu zao

Misemo hii miwli ina maana za kukaribiana.