sw_tn/psa/078/056.md

20 lines
612 B
Markdown

# Taarifa ya Jumla:
Mwandishi anaendelea kuelezea kile ambacho Mungu alifanya kwa watu wa Israeli.
# walipingana na kukaidi
Maneno haya yana maana ya kukaribiana. Mwandishi anayatumia yote kusisitiza kuwa Waisraeli hawakuamini kuwa Mungu atawap mahitaji au kuadhibu maovu kama alivyosema atafanya.
# walipingana
Walitaka Mungu kuthibitisha kuwa anaweza kufanya kama alivyosema kabla hajamwamini.
# kukaidi
"kataa kutii"
# Hawakuwa waaminifu na kutenda kwa uongo
Maneno haya yana maana ya kukaribiana. Mwandishi anayatumia yote mawili kusisitiza kuwa Waisraeli hawakumfanyia Mungu walichosema watafanya.