sw_tn/psa/077/004.md

16 lines
421 B
Markdown

# Taarifa ya jumla:
Baada ya kuzungumza na Mungu, Asafu anazungmza na Mungu katika mstari wa 4 na kisha anarudi kusungumza kuhusu Mungu.
# Uliyashika macho yangu wazi
"Nilisema kwa Mungu, 'Ulishika macho yangu wazi.'"
# Uliyashika macho yangu wazi
Macho yaliyowazi ni njia nyingine ya kusema kushindwa kulala. "ulinizuia kulala"
# siku za kale, kuhusu siku za zamani
"kuhusu vitu vilivyotokea siku za zamani sana"