forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
421 B
Markdown
16 lines
421 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Baada ya kuzungumza na Mungu, Asafu anazungmza na Mungu katika mstari wa 4 na kisha anarudi kusungumza kuhusu Mungu.
|
|
|
|
# Uliyashika macho yangu wazi
|
|
|
|
"Nilisema kwa Mungu, 'Ulishika macho yangu wazi.'"
|
|
|
|
# Uliyashika macho yangu wazi
|
|
|
|
Macho yaliyowazi ni njia nyingine ya kusema kushindwa kulala. "ulinizuia kulala"
|
|
|
|
# siku za kale, kuhusu siku za zamani
|
|
|
|
"kuhusu vitu vilivyotokea siku za zamani sana"
|