sw_tn/psa/077/004.md

421 B

Taarifa ya jumla:

Baada ya kuzungumza na Mungu, Asafu anazungmza na Mungu katika mstari wa 4 na kisha anarudi kusungumza kuhusu Mungu.

Uliyashika macho yangu wazi

"Nilisema kwa Mungu, 'Ulishika macho yangu wazi.'"

Uliyashika macho yangu wazi

Macho yaliyowazi ni njia nyingine ya kusema kushindwa kulala. "ulinizuia kulala"

siku za kale, kuhusu siku za zamani

"kuhusu vitu vilivyotokea siku za zamani sana"