sw_tn/psa/075/001.md

713 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Taarifa ya Jumla:

Watu wa Mungu wanazungumza katika 75:1, na Mungu anazungumza katika 75:2-3.

Kwa mwanamuziki mkuu

"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"

weka katika Al Tashhethi

Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki.

Zaburi ya Asafu

"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika"

wakazi wote

"watu wote wanaosishi ndani yake"

ninazifanya imara nguzo za dunia

"ninaiweka dunia kutoangamizwa" au "waweke watu wangu salama"

Sela

Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.