sw_tn/psa/075/001.md

32 lines
713 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya Jumla:
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
# Taarifa ya Jumla:
Watu wa Mungu wanazungumza katika 75:1, na Mungu anazungumza katika 75:2-3.
# Kwa mwanamuziki mkuu
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
# weka katika Al Tashhethi
Hii inaweza kuwa inamaanisha mtindo wa muziki.
# Zaburi ya Asafu
"Hii ni zaburi ambayo Asafu aliandika"
# wakazi wote
"watu wote wanaosishi ndani yake"
# ninazifanya imara nguzo za dunia
"ninaiweka dunia kutoangamizwa" au "waweke watu wangu salama"
# Sela
Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.