forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
822 B
Markdown
28 lines
822 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Asafu anaomba msaada wa Mungu.
|
|
|
|
# Ita akilini
|
|
|
|
"Vuta nadhari."
|
|
|
|
# adui alitupa matusi kwako
|
|
|
|
Asafu anazungumzia maneno ya matusi kana kwamba ni vitu , kama mawe, ambavyo adui alikuwaakitumia kumponda Yahwe. "adui walikutukana mara nyingi"
|
|
|
|
# maisha ya njiwa wako
|
|
|
|
Asafu anajizungumzia kana kwamba ni njiwa, ndege asiyeweza kujilinda. "mimi, njiwa wako." Msemo huu pia ni sitiari kwa ajili ya watu wa Israeli.
|
|
|
|
# njiwa
|
|
|
|
Ndege mdogo asiyeweza kujilinda na mara nyingi hutunzwa kama ndege wa kufuga.
|
|
|
|
# mnyama pori
|
|
|
|
Msemo huu unaweza kuwa ni sitiari kwa ajili ya adui wa Israeli. "adui mkatili ambaye ni kama mnyama pori"
|
|
|
|
# Usisahau maisha ya watu wako walio kandamizwa milele
|
|
|
|
Usiendelee milele kutokufanya kitu kuwasaidia watu wako walio kandamizwa" "Njoo upesi kuwasaidia watu wako walio kandamizwa"
|