forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
307 B
Markdown
12 lines
307 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Asafu anaendelea kumzungumzia Mungu.
|
|
|
|
# Wale walio mbali na wewe
|
|
|
|
Hapa wazo la kukaa mbali na Mungu linalinganishwa na kutokuwa tayari kumtii. "Wale wasiotaka kukutii"
|
|
|
|
# kimbilio langu
|
|
|
|
Mwandishi anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa sehemu ambayo mtu anaweza kutorokea kwa usalama.
|