sw_tn/psa/073/027.md

307 B

Taarifa ya Jumla:

Asafu anaendelea kumzungumzia Mungu.

Wale walio mbali na wewe

Hapa wazo la kukaa mbali na Mungu linalinganishwa na kutokuwa tayari kumtii. "Wale wasiotaka kukutii"

kimbilio langu

Mwandishi anamzungumzia Yahwe kana kwamba alikuwa sehemu ambayo mtu anaweza kutorokea kwa usalama.