sw_tn/psa/073/004.md

364 B

Taarifa ya Jumla:

Asafu anaanza kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu".

mizigo ya watu wengine

Neno "mizigo" ni njia nyingine ya kusema mahangaiko ya maisha ya kila siku (hitaji la chakula, pango, nguo, na afya)

hawateswi kama wanaume wengine

"hawateseki kama watu wengine wanavyoteseka"