forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
364 B
Markdown
12 lines
364 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Asafu anaanza kueleza ambavyo wakati mwingine anataka kulalamika kwa Mungu kuhusu wale ambao wana "kiburi" na "waovu".
|
||
|
|
||
|
# mizigo ya watu wengine
|
||
|
|
||
|
Neno "mizigo" ni njia nyingine ya kusema mahangaiko ya maisha ya kila siku (hitaji la chakula, pango, nguo, na afya)
|
||
|
|
||
|
# hawateswi kama wanaume wengine
|
||
|
|
||
|
"hawateseki kama watu wengine wanavyoteseka"
|