forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
538 B
Markdown
24 lines
538 B
Markdown
# walimtesa yule
|
|
|
|
"walimtesa mtu"
|
|
|
|
# uliyempiga chini
|
|
|
|
Hapa "kupiga chini" inamaanisha adhabu. "ulimwadhibu"
|
|
|
|
# wale uliowaumiza
|
|
|
|
Hapa "kuumizwa" inamaansiha kuwasababisha kuteseka. "wale uliowasababisha wateseka"
|
|
|
|
# Washtakaki kwa kufanya udhalimu baada ya udhalimu
|
|
|
|
"Endelea kuweka kumbukumbu ya dhambi zao zote"
|
|
|
|
# udhalimu baada ya udhalimu
|
|
|
|
"dhambi nyingi sana"
|
|
|
|
# usiwaache waje katika ushindi wako wa haki
|
|
|
|
Kuja katika ushindi wa Mungu ni lahaja inayomaanisha kupokea dhawabu kutoka kwake. "usiwaache wapokee dhawabu yako ya haki"
|