forked from WA-Catalog/sw_tn
538 B
538 B
walimtesa yule
"walimtesa mtu"
uliyempiga chini
Hapa "kupiga chini" inamaanisha adhabu. "ulimwadhibu"
wale uliowaumiza
Hapa "kuumizwa" inamaansiha kuwasababisha kuteseka. "wale uliowasababisha wateseka"
Washtakaki kwa kufanya udhalimu baada ya udhalimu
"Endelea kuweka kumbukumbu ya dhambi zao zote"
udhalimu baada ya udhalimu
"dhambi nyingi sana"
usiwaache waje katika ushindi wako wa haki
Kuja katika ushindi wa Mungu ni lahaja inayomaanisha kupokea dhawabu kutoka kwake. "usiwaache wapokee dhawabu yako ya haki"