sw_tn/psa/069/026.md

538 B

walimtesa yule

"walimtesa mtu"

uliyempiga chini

Hapa "kupiga chini" inamaanisha adhabu. "ulimwadhibu"

wale uliowaumiza

Hapa "kuumizwa" inamaansiha kuwasababisha kuteseka. "wale uliowasababisha wateseka"

Washtakaki kwa kufanya udhalimu baada ya udhalimu

"Endelea kuweka kumbukumbu ya dhambi zao zote"

udhalimu baada ya udhalimu

"dhambi nyingi sana"

usiwaache waje katika ushindi wako wa haki

Kuja katika ushindi wa Mungu ni lahaja inayomaanisha kupokea dhawabu kutoka kwake. "usiwaache wapokee dhawabu yako ya haki"