forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
550 B
Markdown
20 lines
550 B
Markdown
# Nitatangaza alichofanya kwa ajili ya nafsi yangu
|
|
|
|
Neno "nafsi" linamwakilisha mtu mzima. "Nitakwambia alichofanya kwa ajili yangu"
|
|
|
|
# Nililia kwake kwa mdomo wangu
|
|
|
|
Neno "mdomo" linamwakilisha mtu mzima. anayelia kwa Mungu.
|
|
|
|
# alisifiwa kwa mdomo wangu
|
|
|
|
Hpa "ulimi" unawakilisha maneno au hotuba. "Nilimsifu kwa ulimi wangu" au "Nilimsifu"
|
|
|
|
# ningeona dhambi
|
|
|
|
"ningependa dhambi" au "kutunza udhalimu"
|
|
|
|
# asinge nisikiliza
|
|
|
|
Hapa "asinge nisikiliza" inadokeza kuwa Mungu asinge jibu ombi lake. "asinge nisikia nikimwita" au "asinge jibu ombi langu"
|