sw_tn/psa/066/016.md

550 B

Nitatangaza alichofanya kwa ajili ya nafsi yangu

Neno "nafsi" linamwakilisha mtu mzima. "Nitakwambia alichofanya kwa ajili yangu"

Nililia kwake kwa mdomo wangu

Neno "mdomo" linamwakilisha mtu mzima. anayelia kwa Mungu.

alisifiwa kwa mdomo wangu

Hpa "ulimi" unawakilisha maneno au hotuba. "Nilimsifu kwa ulimi wangu" au "Nilimsifu"

ningeona dhambi

"ningependa dhambi" au "kutunza udhalimu"

asinge nisikiliza

Hapa "asinge nisikiliza" inadokeza kuwa Mungu asinge jibu ombi lake. "asinge nisikia nikimwita" au "asinge jibu ombi langu"