forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
541 B
Markdown
32 lines
541 B
Markdown
# anatisha ... yake ... kwake
|
|
|
|
Hapa anayezungumziwa ni Mungu.
|
|
|
|
# anatisha
|
|
|
|
"wa ajabu"
|
|
|
|
# wanadamu
|
|
|
|
"binadamu"
|
|
|
|
# Aligeuza bahari kuwa nchi kavu; walipita mto kwa miguu
|
|
|
|
Hii inamaanisha kuvuka bahari ya Shamu.
|
|
|
|
# walipita
|
|
|
|
Waliopita ni watu wa Mungu, Waisraeli.
|
|
|
|
# tulifurahi
|
|
|
|
Waliofurahi ni Waisraeli, mababu zao, Daudi, na watu anaozungumza nao.
|
|
|
|
# macho yake yanatazama
|
|
|
|
Msemo huu "macho yake" inamaanisha Mungu mwenyewe. "anaona"
|
|
|
|
# usiwaache wakaidi wajiinue
|
|
|
|
"usiwaache watu wakaidi wajiinue" au "usiwaache watu wakaidi wawe na kiburi"
|