sw_tn/psa/066/005.md

541 B

anatisha ... yake ... kwake

Hapa anayezungumziwa ni Mungu.

anatisha

"wa ajabu"

wanadamu

"binadamu"

Aligeuza bahari kuwa nchi kavu; walipita mto kwa miguu

Hii inamaanisha kuvuka bahari ya Shamu.

walipita

Waliopita ni watu wa Mungu, Waisraeli.

tulifurahi

Waliofurahi ni Waisraeli, mababu zao, Daudi, na watu anaozungumza nao.

macho yake yanatazama

Msemo huu "macho yake" inamaanisha Mungu mwenyewe. "anaona"

usiwaache wakaidi wajiinue

"usiwaache watu wakaidi wajiinue" au "usiwaache watu wakaidi wawe na kiburi"