forked from WA-Catalog/sw_tn
541 B
541 B
anatisha ... yake ... kwake
Hapa anayezungumziwa ni Mungu.
anatisha
"wa ajabu"
wanadamu
"binadamu"
Aligeuza bahari kuwa nchi kavu; walipita mto kwa miguu
Hii inamaanisha kuvuka bahari ya Shamu.
walipita
Waliopita ni watu wa Mungu, Waisraeli.
tulifurahi
Waliofurahi ni Waisraeli, mababu zao, Daudi, na watu anaozungumza nao.
macho yake yanatazama
Msemo huu "macho yake" inamaanisha Mungu mwenyewe. "anaona"
usiwaache wakaidi wajiinue
"usiwaache watu wakaidi wajiinue" au "usiwaache watu wakaidi wawe na kiburi"