forked from WA-Catalog/sw_tn
358 B
358 B
nitafurahi katika kivuli cha mbawa zako
Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni ndege anayelinda makinda yake chini ya mbawa zake. "ninafurahi kwa sababu unanilinda"
Nang'ang'ania kwako
"Ninakuhitaji" au "Ninakutegemea"
mkon wako wa kuume unanibeba
Hapa, mkono wa kuume unatumika kama ishara ya nguvu na uwezo. "unanibeba" au "unaniinua juu"