forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
963 B
Markdown
32 lines
963 B
Markdown
# Unawauza watu wako bure
|
|
|
|
Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuwaruhusu adui wa Israeli kuwashinda kana kwamba alikuwa akiwauza watu wa Israeli kwa adui zao lakini hahitaji malipo kutoka kwa adui zao.
|
|
|
|
# Unatufanya kuwa lawama kwa jirani zetu, kudhihakiwa na kukejeliwa na wale waliotuzunguka
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina usambamba ikisisitiza jinsi watu wanaoishi miongoni mwao wanavyowakejeli.
|
|
|
|
# Unatufanya kuwa lawama kwa jirani zetu
|
|
|
|
"Unatufanya kuwa kitu ambacho jirani zetu wanakemea"
|
|
|
|
# kudhihakiwa na kukejeliwa na wale waliotuzunguka
|
|
|
|
"wale waliotuzunguka wanatudhihaki na kutukejeli"
|
|
|
|
# fedheha miongoni ... kutikisa kichwa
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina usambamba ikisisitiza jinsi watu wanavyowakejeli kwa nguvu.
|
|
|
|
# Umetufanya fedheha miongoni mwa mataifa
|
|
|
|
Unayafanya mataifa yaliyo tuzunguka kutufedhehesha"
|
|
|
|
# kutikisa kichwa miongoni mwa watu
|
|
|
|
"jambo ambalo watu hutikisa vichwa"
|
|
|
|
# kutikisa kichwa
|
|
|
|
Hiki ni kitendeo ambacho watu walitumia kuonesha dharau wengine.
|