sw_tn/psa/043/005.md

565 B

Kwa nini umeinama chini , nafsi yangu? Kwa nini umekasirika ndani yangu?

Mwandishi anaelezea uwepo wake wa ndani kama "nafsi" yake. Anauliza maswali haya kujikemea mwenyewe. "Sitakiwi kuinama chini. Sitakiwi kuwa na wasiwasi"

umeinama chini

Mwandishi anazungumzia huzuni au kukata tamaa kana kwamba nafsi yake imeinama.

Mtumaini Mungu

Mwandishi anaendelea kuzungumza na nafsi yake na kuiamuru kumtumaini Mungu.

wokovu wangu na Mungu wangu

Msemo "wokovu wangu" inamaanisha Mungu. Ikibidi, misemo miwili inaweza kuunganishwa. "Mungu wangu anayeniokoa"