sw_tn/psa/043/003.md

457 B

tuma nuru yako na ukweli wako

Mwandishi anazungumzia ukombozi wa Mungu kana kwamba ni nuru inayo mwonyesha njia na ukweli unaomfundisha jinsi ya kuishi. "niongoze kwa nuru yako na kweli"

mlima ... mtakatifu

Hii inamaanisha mlima ulioko Yerusalemu ambapo hekalu lipo kwa hiyo ni hekalu lenyewe.

kwenye makazi yako

"mahali ambapo unaishi"

Mungu furaha yangu inayozidi

"Mungu ambaye ni furaha yangu kubwa sana" au "Mungu anayenipa furaha kubwa"