forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
457 B
Markdown
16 lines
457 B
Markdown
|
# tuma nuru yako na ukweli wako
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia ukombozi wa Mungu kana kwamba ni nuru inayo mwonyesha njia na ukweli unaomfundisha jinsi ya kuishi. "niongoze kwa nuru yako na kweli"
|
||
|
|
||
|
# mlima ... mtakatifu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mlima ulioko Yerusalemu ambapo hekalu lipo kwa hiyo ni hekalu lenyewe.
|
||
|
|
||
|
# kwenye makazi yako
|
||
|
|
||
|
"mahali ambapo unaishi"
|
||
|
|
||
|
# Mungu furaha yangu inayozidi
|
||
|
|
||
|
"Mungu ambaye ni furaha yangu kubwa sana" au "Mungu anayenipa furaha kubwa"
|