forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
576 B
Markdown
32 lines
576 B
Markdown
# washangilie na kuwa na furaha
|
|
|
|
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza uzito wa furaha. "wawe na furaha sana"
|
|
|
|
# wanaopenda wokovu wako
|
|
|
|
"wanaokupenda kwa sababu umewaokoa"
|
|
|
|
# maskini na mhitaji
|
|
|
|
Maneno haya yanamaanisha kitu kimoja na yanasisitiza jisni mwandishi asivyojiweza. "mhitaji sana"
|
|
|
|
# Bwana ananiwaza
|
|
|
|
"Bwana ananijali"
|
|
|
|
# Wewe ni msaada wangu ... unakuja kwa ukombozi wangu
|
|
|
|
Misemo hii inamaanisha kitu kimoja.
|
|
|
|
# Wewe ni msaada wangu
|
|
|
|
"Wewe ndiye unaye nisaidia"
|
|
|
|
# unakuja kwa ukombozi wangu
|
|
|
|
"unakuja kunioka"
|
|
|
|
# usichelewe
|
|
|
|
"unijibu upesi"
|