sw_tn/psa/040/016.md

576 B

washangilie na kuwa na furaha

Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na inasisitiza uzito wa furaha. "wawe na furaha sana"

wanaopenda wokovu wako

"wanaokupenda kwa sababu umewaokoa"

maskini na mhitaji

Maneno haya yanamaanisha kitu kimoja na yanasisitiza jisni mwandishi asivyojiweza. "mhitaji sana"

Bwana ananiwaza

"Bwana ananijali"

Wewe ni msaada wangu ... unakuja kwa ukombozi wangu

Misemo hii inamaanisha kitu kimoja.

Wewe ni msaada wangu

"Wewe ndiye unaye nisaidia"

unakuja kwa ukombozi wangu

"unakuja kunioka"

usichelewe

"unijibu upesi"