forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
679 B
Markdown
20 lines
679 B
Markdown
# Acha kuniumiza
|
|
|
|
Adhabu ya Mungu kwa mwandishi inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa akimuumiza kwa silaha. "tafadhali acha kuniadhibu!"
|
|
|
|
# nimelemewa
|
|
|
|
"nimeshindwa kabisa"
|
|
|
|
# pigo la mkono wako
|
|
|
|
Adhabu ya Mungu kwa mwandishi inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa akimpiga kwa mkono wake. Hapa "mkono" unawakilisha hukumu ya Mungu. "hukumu yako kwangu"
|
|
|
|
# unameza vitu wanavyotamani kama nondo
|
|
|
|
Mungu atachukua vitu wanavyojali katika njia moja nondo anavyokula kipande cha nguo. "unameza vitu wanavyotamani kama nondo anavyokula nguo"
|
|
|
|
# watu wote sio kitu ila mvuke
|
|
|
|
Mwandishi anazungumza udhaifu wa watukana kwamba ni umande unaopotea haraka. "kila mtu ni dhaifu kabisa"
|