sw_tn/psa/039/010.md

679 B

Acha kuniumiza

Adhabu ya Mungu kwa mwandishi inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa akimuumiza kwa silaha. "tafadhali acha kuniadhibu!"

nimelemewa

"nimeshindwa kabisa"

pigo la mkono wako

Adhabu ya Mungu kwa mwandishi inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa akimpiga kwa mkono wake. Hapa "mkono" unawakilisha hukumu ya Mungu. "hukumu yako kwangu"

unameza vitu wanavyotamani kama nondo

Mungu atachukua vitu wanavyojali katika njia moja nondo anavyokula kipande cha nguo. "unameza vitu wanavyotamani kama nondo anavyokula nguo"

watu wote sio kitu ila mvuke

Mwandishi anazungumza udhaifu wa watukana kwamba ni umande unaopotea haraka. "kila mtu ni dhaifu kabisa"