sw_tn/psa/039/006.md

431 B

Hakika kila mtu anatembea kama kivuli

Maisha ya watu yanazungumziwa kana kwamba sio ya muhimu kama vivuli. "Kila mtu anapotea kama vivuli vinavyofanya"

ingawa hawajui nini atawapokea

Hapa inadokezwa kuwa hawajui kitakachotokea kwa utajiri watakapokufa.

Sasa, Bwana, ninasubiri nini?

Mwandishi anauliza hili swali kusisitiza kuwa watu hawawezi kumsaidia. "Kwa hiyo, Yahwe, sitegemei kupokea kitu kutoka kwa mtu mwingine"