forked from WA-Catalog/sw_tn
431 B
431 B
Hakika kila mtu anatembea kama kivuli
Maisha ya watu yanazungumziwa kana kwamba sio ya muhimu kama vivuli. "Kila mtu anapotea kama vivuli vinavyofanya"
ingawa hawajui nini atawapokea
Hapa inadokezwa kuwa hawajui kitakachotokea kwa utajiri watakapokufa.
Sasa, Bwana, ninasubiri nini?
Mwandishi anauliza hili swali kusisitiza kuwa watu hawawezi kumsaidia. "Kwa hiyo, Yahwe, sitegemei kupokea kitu kutoka kwa mtu mwingine"