forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
431 B
Markdown
12 lines
431 B
Markdown
|
# Hakika kila mtu anatembea kama kivuli
|
||
|
|
||
|
Maisha ya watu yanazungumziwa kana kwamba sio ya muhimu kama vivuli. "Kila mtu anapotea kama vivuli vinavyofanya"
|
||
|
|
||
|
# ingawa hawajui nini atawapokea
|
||
|
|
||
|
Hapa inadokezwa kuwa hawajui kitakachotokea kwa utajiri watakapokufa.
|
||
|
|
||
|
# Sasa, Bwana, ninasubiri nini?
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anauliza hili swali kusisitiza kuwa watu hawawezi kumsaidia. "Kwa hiyo, Yahwe, sitegemei kupokea kitu kutoka kwa mtu mwingine"
|