sw_tn/psa/037/037.md

440 B

mtu wa uadilifu

Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla.

mwekee alama mnyofu

"waangalia kwa makini watu wazuri"

siku za usoni za mtu mwovu zimekatwa

"Mungu atasitisha uzao wake" au "hatakuwa na uzao"

siku za usoni

Hii inamaanisha uzao wake. "uzao wake"

mtu mwovu

Hii haimaanishi mtu bayana. Ni kauli ya ujumla.

zimekatwa

Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa tawi la mmea uliokatwa na kutupwa.