forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
918 B
Markdown
36 lines
918 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
|
|
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
|
|
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
|
|
|
# Zaburi ya Daudi mtumishi wa Yahwe
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
|
|
|
# Dhambi inazungumza kama mwaguzi
|
|
|
|
Dhambi inaelezwa kana kwamba ni nabii wa uongo. "Dhambi ni kama nabii wa uongo anayezungumza"
|
|
|
|
# katika moyo wa mtu mwovu
|
|
|
|
Hapa "moyo" inamaanisha hali ya ndani wa mtu. "hali ya ndani ya mtu mwovu"
|
|
|
|
# mtu mwovu
|
|
|
|
Hii haimaanishi mtu bayana, lakini kwa watu waovu kwa ujumla. "watu waovu"
|
|
|
|
# katika macho yake
|
|
|
|
Hapa "macho" yanamaanisha mtu mwovu. "ndani yake"
|
|
|
|
# anajifariji, akifikiri
|
|
|
|
"anapendelea kuamini" au "anataka kufikiri"
|
|
|
|
# dhambi yake haitagunduliwa na kuchukiwa
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mungu hatagundua na kuchukia dhambi yake"
|