sw_tn/psa/035/015.md

548 B

wakakusanya pamoja

"kukusanyika pamoja" au "wakaja pamoja"

dhidi yangu

Hii inamaanisha walikuja pamoja kwa kusudi la kumshambulia mwandishi. "kufanya mipango dhidi yangu" au "kupanga uharibifu"

Wakanirarua

Hapa walimtendea mwandishi kana kwamba alikuwa kipande cha nguo walichoweza kurarua vipande vipande. "Walinivamia"

Bila heshima yoyote wakanidhihaki

"Walinidhihaki na watu wasio na faida kabisa" au 2) "walinikejeli bila heshima"

wakanisagia meno

Hii ni alama ya hasira na chuki. "walinifanyia sauti za kusaga kwa meno yao"