forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
388 B
Markdown
16 lines
388 B
Markdown
# walio kandamizwa
|
|
|
|
Hii inamaanisha watu walio kandamizwa. "watu walio kandamizwa"
|
|
|
|
# Msifuni Yahwe pamoja na mimi
|
|
|
|
Kitenzi "msifuni" ni amri kwa kikundi. "Kila mtu anapaswa kumsifu Yahwe pamoja na mimi"
|
|
|
|
# inueni jina lake
|
|
|
|
Hapa "inueni" ni lahaja inayomaanisha kumtukuza Yahwe. "waambieni watu jinsi alivyo mkuu"
|
|
|
|
# jina lake
|
|
|
|
Hapa "jina lake" linammanisha tabia ya Yahwe. "tabia yake"
|