sw_tn/psa/034/002.md

388 B

walio kandamizwa

Hii inamaanisha watu walio kandamizwa. "watu walio kandamizwa"

Msifuni Yahwe pamoja na mimi

Kitenzi "msifuni" ni amri kwa kikundi. "Kila mtu anapaswa kumsifu Yahwe pamoja na mimi"

inueni jina lake

Hapa "inueni" ni lahaja inayomaanisha kumtukuza Yahwe. "waambieni watu jinsi alivyo mkuu"

jina lake

Hapa "jina lake" linammanisha tabia ya Yahwe. "tabia yake"