forked from WA-Catalog/sw_tn
388 B
388 B
walio kandamizwa
Hii inamaanisha watu walio kandamizwa. "watu walio kandamizwa"
Msifuni Yahwe pamoja na mimi
Kitenzi "msifuni" ni amri kwa kikundi. "Kila mtu anapaswa kumsifu Yahwe pamoja na mimi"
inueni jina lake
Hapa "inueni" ni lahaja inayomaanisha kumtukuza Yahwe. "waambieni watu jinsi alivyo mkuu"
jina lake
Hapa "jina lake" linammanisha tabia ya Yahwe. "tabia yake"