forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
344 B
Markdown
8 lines
344 B
Markdown
# anatazama chini
|
|
|
|
Sehemu ambayo Yahwe huishi inazungumziwa kana kwamba iko juu ya dunia wanayoishi watu.
|
|
|
|
# anyeunda mioyo yao wote
|
|
|
|
Hapa "mioyo" inamaanisha kuwaza kwa hawa watu. Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuongoza kufikiri kwa watu kana kwamba alikuwa ni mfinyanzi anayeunda bakuli. "huongoza mawazo yao kama mfinyanzi anavyounda bakuli"
|