sw_tn/psa/033/013.md

344 B

anatazama chini

Sehemu ambayo Yahwe huishi inazungumziwa kana kwamba iko juu ya dunia wanayoishi watu.

anyeunda mioyo yao wote

Hapa "mioyo" inamaanisha kuwaza kwa hawa watu. Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuongoza kufikiri kwa watu kana kwamba alikuwa ni mfinyanzi anayeunda bakuli. "huongoza mawazo yao kama mfinyanzi anavyounda bakuli"