sw_tn/psa/033/013.md

8 lines
344 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# anatazama chini
Sehemu ambayo Yahwe huishi inazungumziwa kana kwamba iko juu ya dunia wanayoishi watu.
# anyeunda mioyo yao wote
Hapa "mioyo" inamaanisha kuwaza kwa hawa watu. Mwandishi anamzungumzia Yahwe kuongoza kufikiri kwa watu kana kwamba alikuwa ni mfinyanzi anayeunda bakuli. "huongoza mawazo yao kama mfinyanzi anavyounda bakuli"