sw_tn/psa/031/023.md

209 B

waaminifu

Hii inamaanisha watu waaminifu. "watu walio waaminifu"

huwalipa wenye kiburi kikamilifu

Hapa "kulipa" ni lahaja inayomaanisha kuwaadhibu. "anawapa watu wenye kiburi adhabu yote wanayostahili"