sw_tn/psa/031/023.md

8 lines
209 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# waaminifu
Hii inamaanisha watu waaminifu. "watu walio waaminifu"
# huwalipa wenye kiburi kikamilifu
Hapa "kulipa" ni lahaja inayomaanisha kuwaadhibu. "anawapa watu wenye kiburi adhabu yote wanayostahili"