sw_tn/psa/026/004.md

448 B

Sijihusishi

"Sikai kundi moja na" au "Siketi na"

na watu waongo

"na wale wanao wadanganya wengine"

wala kujichanganya na watu wasio wakweli

Hii ina maana sawa na sehemu ya kwanza ya sentensi. "na sijiungi na watu wasio wakweli"

watu wasio wakweli

"wanafiki" au "wale wanao wadanganya wengine"

mkusanyiko wa watenda maovu

"wale wanao kusanyika kutenda maovu"

waovu

Hiki ni kivumishi kidogo. "watu waovu" au "wale walio waovu"