sw_tn/psa/021/011.md

543 B

walikusudi

"walipanga." Waliopanga ni adui wa Mungu na mfalme.

maovu dhidi yako

"kufanya vitu viovu"

wakatunga njama

"wakafanya mpango" au "wakiunda hila"

Kwa kuwa utawageuza; utachukua upinde wako mbele yao

Maana zinazowezekana za anaye zungumziwa ni 1) mfalme au ni 2) Mungu na zinamzungumzia kana kwamba alikuwa ni shujaa mwenye upinde na mishale.

utawageuza

Hii ni njia ya kusema kuwa Mungu na mfalme watawashinda adui zao vitani.

utachukua upinde wako mbele yao

Hii inaashiria kuwa anawapiga adui zake kwa mishale.