forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
543 B
Markdown
24 lines
543 B
Markdown
|
# walikusudi
|
||
|
|
||
|
"walipanga." Waliopanga ni adui wa Mungu na mfalme.
|
||
|
|
||
|
# maovu dhidi yako
|
||
|
|
||
|
"kufanya vitu viovu"
|
||
|
|
||
|
# wakatunga njama
|
||
|
|
||
|
"wakafanya mpango" au "wakiunda hila"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa utawageuza; utachukua upinde wako mbele yao
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana za anaye zungumziwa ni 1) mfalme au ni 2) Mungu na zinamzungumzia kana kwamba alikuwa ni shujaa mwenye upinde na mishale.
|
||
|
|
||
|
# utawageuza
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya kusema kuwa Mungu na mfalme watawashinda adui zao vitani.
|
||
|
|
||
|
# utachukua upinde wako mbele yao
|
||
|
|
||
|
Hii inaashiria kuwa anawapiga adui zake kwa mishale.
|