sw_tn/psa/021/007.md

592 B

katika uaminifu wa agano la aliye juu

"kwa kuwa aliye juu ni mwaminifu kwa agano lake"

hatasogezwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "hakuna mtu atakaye msogeza kama mfalme"

Mkono wako utakamata

Hapa "mkono" unaashiria nguvu. "Nguvu yako itakamta" au "Utawakamata kwa nguvu"

Mkono wako ... unachukia

Maana zinazowezekana za anaye zungumziwa ni 1) mfalme au zinamaanisha ni 2) Mungu.

Mkono wako wa kuume utawakamata wale wanaokuchukia

Hii inamaanisha kitu sawa kama sehemu ya kwanza ya sentensi. Inawekamkazo kuwa Mungu atampa mfalme uwezo wa kuwazuia adui zake.