forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
592 B
Markdown
20 lines
592 B
Markdown
|
# katika uaminifu wa agano la aliye juu
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa aliye juu ni mwaminifu kwa agano lake"
|
||
|
|
||
|
# hatasogezwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "hakuna mtu atakaye msogeza kama mfalme"
|
||
|
|
||
|
# Mkono wako utakamata
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" unaashiria nguvu. "Nguvu yako itakamta" au "Utawakamata kwa nguvu"
|
||
|
|
||
|
# Mkono wako ... unachukia
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana za anaye zungumziwa ni 1) mfalme au zinamaanisha ni 2) Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Mkono wako wa kuume utawakamata wale wanaokuchukia
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kitu sawa kama sehemu ya kwanza ya sentensi. Inawekamkazo kuwa Mungu atampa mfalme uwezo wa kuwazuia adui zake.
|