forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
963 B
Markdown
36 lines
963 B
Markdown
# tutafurahi katika ushindi wako
|
|
|
|
Hapa watakaofurahi ni watu. Watufurahi katika ushindi wa mfalme.
|
|
|
|
# katika jina la Mungu wetu
|
|
|
|
Hapa "jina" linamaanisha heshima na sifa. "kwa heshima ya Mungu" au "kwa sifa ya Mungu wetu"
|
|
|
|
# tutanyanyua bendera
|
|
|
|
"tutanyanyua mabango"
|
|
|
|
# akupe maombi yako yote
|
|
|
|
"kukupa kila kitu unachomuomba"
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Neno hili linatumika kuweka mapumziko katika zaburi. Inahama kutoka kwa watu kuzungumza hadi kwa mfalme kuzungumza.
|
|
|
|
# Ninajua
|
|
|
|
Anayejua inawezekana ni mfalme katika kipengele hiki.
|
|
|
|
# mtiwa mafuta wake ... atamjibu ... atamuokoa
|
|
|
|
Mfalme anajizumzia mwenyewe katika hali ya mtu wa tatu. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya mtu wa kwanza. "mimi, mtiwa mafuta wake ... nijibu .. niokoe"
|
|
|
|
# kutoka mbingu yake takatifu
|
|
|
|
Mungu anaishi mbinguni pamoja na kwenye hekalu Yerusalemu.
|
|
|
|
# kwa nguvu ya mkono wake wa kuume unaoweza kumwokoa
|
|
|
|
Mkono wa kuume wa Mungu unaashiria nguvu yake kumwokoa mfalme. "kwa nguvu yake kubwa atamwokoa"
|