sw_tn/psa/018/027.md

406 B

unawaleta chini

"unawanyenyekesha"

wenye macho ya majivuno yaliyoinuka

lahaja hii inaashiria wale walio na majivuno. "wenye majivuno"

Kwa kuwa unaipa nuru taa yangu; Yahwe Mungu wangu huipa nuru giza langu

Mwandishi anazungumzia uwepo wa Yahwe kana kwamba alikuwa nuru. Vishazi hivi vina maana ya kukaribiana.

Kwako ninaweza kuruka kizuizi

"Kwa msaada wako ninaweza kuvuka kikwazo chochote"