forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
406 B
Markdown
16 lines
406 B
Markdown
|
# unawaleta chini
|
||
|
|
||
|
"unawanyenyekesha"
|
||
|
|
||
|
# wenye macho ya majivuno yaliyoinuka
|
||
|
|
||
|
lahaja hii inaashiria wale walio na majivuno. "wenye majivuno"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa unaipa nuru taa yangu; Yahwe Mungu wangu huipa nuru giza langu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia uwepo wa Yahwe kana kwamba alikuwa nuru. Vishazi hivi vina maana ya kukaribiana.
|
||
|
|
||
|
# Kwako ninaweza kuruka kizuizi
|
||
|
|
||
|
"Kwa msaada wako ninaweza kuvuka kikwazo chochote"
|