sw_tn/psa/018/009.md

12 lines
273 B
Markdown

# Akafungua
Aliyefungua ni Yahwe.
# giza nene lilikuwa chini ya miguu yake
Ingawa Yahwe sio binadamu, mwandishi anampa sifa za binadamu. "giza nene lilikuwa chini yake"
# mabawa ya upepo
Hapa mwandishi wa zaburi anazungumzia upepo kana kwamba una mabawa kama malaika.